Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mwigulu Nchemba (aliyekaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama katika hafla ya Ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Mwaka 2025 wa Viongozi wa TAKUKURU uliofanyika leo tarehe 26 Januari, 2026 Mkoani Morogoro. Kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Bw. Crispin Chalamila