Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene akisalimiana leo jijini Dodoma na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya maandalizi ya mkutano wa mwaka wa Chama cha Menejimenti ya Kumbukumbu na Nyaraka Tanzania (TRAMPA) utakaofanyika Agosti 27, 2025 jijini Dar es Salaam