Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora akiongoza Mkutano Maalum wa Baraza la Wafanyakazi la ofisi hiyo kabla ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Mhe. George Simbachawene kuzindua Baraza hilo.