Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Xavier Daudi (katikati) akifuatilia wasilisho kuhusu Magonjwa ya Kisukari na Shinikizo la damu wakati wa mafunzo yaliyotolewa kwa watumishi wa ofisi hiyo katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma kwa lengo la kuwajengea uwezo na kuimarisha utendaji kazi.