Sehemu ya Wakurugenzi wa Idara na Vitengo kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bw. Juma Mkomi (hayupo pichani) wakati wa Mkutano wake na Waandishi wa Habari kuhusu ushiriki wa Watumishi wa Umma katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Mteja uliofanyika katika Ofisi hiyo, Jijini Dodoma.