Mkurugenzi Msaidizi Anuai za Jamii na Mratibu wa VVU, Ukimwi na Magonjwa Yasiyoambukiza, Ofisi ya Rais-UTUMISHI, Bi. Mwanaamani Mtoo akiwasilisha mada kuhusu Mwongozo wa kudhibiti VVU, UKIMWI na magonjwa yasiyoambukiza (MSY) mahali pa kazi katika utumishi wa umma wakati wa kikao kazi cha kupokea taarifa ya utekelezaji wa Afua za VVU, UKIMWI na Magonjwa yasiyoambukiza kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024/25 Jijini Mwanza