Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Bw. Xavier Daudi (Katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Viongozi, Wakurugenzi na Wakurugenzi Wasaidizi kutoka Ofisi ya Rais, UTUMISHI na Utawala Bora mara baada ya Naibu Katibu Mkuu Bw. Daudi mara baada ya kufungua Kikao Kazi cha kuwezesha utekelezaji wa maboresho ya mfumo wa e-Utendaji kwa ajili ya kutumika katika Taasisi za Elimu ya Juu nchini